SERIKALI YAWAREJESHA WATANZANIA 42 KUTOKA NCHINI IRAN NA ISRAEL.
-
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imefanikiwa kuwarejesha salama
nchini Watanzania 42 kutoka nchini Israel na Iran kufuatia vita vilivyokuwa
viki...
1 hour ago
hii ndio bongo yetu.
ReplyDeleteJenny, nadhani pale unapoitambulisha blog yako unetumia kiswahili na kiingereza ili kutuwezesha sisi waswahili kupata nini hasa unatujuza kuliko kuendelea na kidhungu mwanzo mwisho isipokuwa neno kiswahili ndi kiswahili pekee. Umeon ahata hapa kwenye selekti profail inaongea issue ambazo sisi ndugu zako ambao hatujui lugha za ki aitii ni tatizo.
ReplyDeleteMi nachagua yoyote halafu utajua huko mbeleni nini kitakuwa. Lakini nilitaka uweke kiswahili zaidi ili sisi waswahili tuweze kujiramba na blog yetu.
Kazi nzuri