BEDA MSIMBE NA MUUNGANO WA MATAIFA: ZAMA ZA DHARURA YA SANAA ZIFF 2025
-
Katika ulimwengu wa sanaa na utamaduni, kuna nyakati ambazo picha moja
inazungumza zaidi ya vitabu elfu moja. Katikati ya shamrashamra za Tamasha
la ...
4 hours ago

hii ndio bongo yetu.
ReplyDeleteJenny, nadhani pale unapoitambulisha blog yako unetumia kiswahili na kiingereza ili kutuwezesha sisi waswahili kupata nini hasa unatujuza kuliko kuendelea na kidhungu mwanzo mwisho isipokuwa neno kiswahili ndi kiswahili pekee. Umeon ahata hapa kwenye selekti profail inaongea issue ambazo sisi ndugu zako ambao hatujui lugha za ki aitii ni tatizo.
ReplyDeleteMi nachagua yoyote halafu utajua huko mbeleni nini kitakuwa. Lakini nilitaka uweke kiswahili zaidi ili sisi waswahili tuweze kujiramba na blog yetu.
Kazi nzuri