MARIDHIANO DAY: BUTIKU, MAKINDA NA VIONGOZI WA DINI WAHIMIZA UMOJA
-
KATIKA kile kinachoonekana ni harakati za makusudi za kuponya majeraha ya
kisiasa na kijamii nchini, viongozi waandamizi na wastaafu wametoa wito
mzito...
6 hours ago

hii ndio bongo yetu.
ReplyDeleteJenny, nadhani pale unapoitambulisha blog yako unetumia kiswahili na kiingereza ili kutuwezesha sisi waswahili kupata nini hasa unatujuza kuliko kuendelea na kidhungu mwanzo mwisho isipokuwa neno kiswahili ndi kiswahili pekee. Umeon ahata hapa kwenye selekti profail inaongea issue ambazo sisi ndugu zako ambao hatujui lugha za ki aitii ni tatizo.
ReplyDeleteMi nachagua yoyote halafu utajua huko mbeleni nini kitakuwa. Lakini nilitaka uweke kiswahili zaidi ili sisi waswahili tuweze kujiramba na blog yetu.
Kazi nzuri