TUME HURU YATANGAZA TAKWIMU MPYA ZA WAPIGA KURA, IDADI YAONGEZEKA KWA
ASILIMIA 26.53
-
Na Mwandishi Wetu
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetoa taarifa kwa umma ikielezea
mabadiliko ya takwimu za wapiga kura na vituo vya kupigia kur...
3 minutes ago
hii ndio bongo yetu.
ReplyDeleteJenny, nadhani pale unapoitambulisha blog yako unetumia kiswahili na kiingereza ili kutuwezesha sisi waswahili kupata nini hasa unatujuza kuliko kuendelea na kidhungu mwanzo mwisho isipokuwa neno kiswahili ndi kiswahili pekee. Umeon ahata hapa kwenye selekti profail inaongea issue ambazo sisi ndugu zako ambao hatujui lugha za ki aitii ni tatizo.
ReplyDeleteMi nachagua yoyote halafu utajua huko mbeleni nini kitakuwa. Lakini nilitaka uweke kiswahili zaidi ili sisi waswahili tuweze kujiramba na blog yetu.
Kazi nzuri