MATUKIO KATIKA PICHA
-
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu Ndugu Bakari Machumu akiwa kwenye
picha na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
amba...
2 hours ago
We ni mswahili, pale uamkapo asbuhi na kumtuma dogo au kwenda mwenyewe kununua chapati ambazo unafungiwa kwenye gazeti. Unakula chapati zikiwa na wino mweusi wa gazeti, unashiba na kulala kwenye mkeka na lile gazeti (ulilofungiwa chapati) unaanza kulisoma tena.