TASAC YAFANYA ZOEZI LA UTAYARI KUKABILIANA NA UMWAGIKAJI WA MAFUTA BAHARINI
-
Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC), leo tarehe 13 Machi, 2025,
limeendesha zoezi la utayari wa kukabiliana na umwagikaji wa mafuta
baharini ...
40 minutes ago
Uswahilini. Nimewasili. Nimewasili NYUMBANI maana nami ni mswahili. Nashukuru saana kwa kuniongeza kwenye Facebook na nilipotembekea ukurasa wako nikakutana na hii.
ReplyDeleteNimefurahi kuona nawe unaendeleza kazi njema ya ku-Blog.
Basi karibu CHANGAMOTONI kusaidiana kuelimisha, kuburudisha, kufunza na kuisaidia jamii.
Blessings
KARIBU......http://jukwaahuru.com/
ReplyDeleteKwa vile nami ni mswahili nimeona si mbaya nikichangia kidogo. Nawe karibu MAISHA NA MAFANIKIO. Hapo konaniiii!!
ReplyDeleteSiku ukihamia kwenye nyumba ambayo bafu lipo kwa ndani (self contained) na hakuna foleni lazima upakumbuke huku maana utakuwa unakosa stori
ReplyDeleteSWALI inakuwaje jamaa wanasubiri kwa nje na wewe uko bafuni/chooni na unaendesha tena kwa sauti watu wote wanasikia, maana mabafu haya ni choo pia, halafu mengi ni ya shimo halafu .........
Lakini mimi sipendi vitu vibaya au maisha ya shida yakaitwa ya `waswahili' kwasababu tunakitia madoa kiswahili chetu!
ReplyDeletemwenye blog,she's typical mswahili
ReplyDeleteWhat's up, all the time i used to check web site posts here early in the break of day, as i enjoy to find out more and more.
ReplyDeleteAlso visit my site atlaslm.com